Å·±¦ÓéÀÖ

Mwananchi Quotes

Quotes tagged as "mwananchi" Showing 1-4 of 4
Enock Maregesi
“Mwananchi yeyote mwenye taarifa inayohusu biashara haramu ya madawa ya kulevya aitoe taarifa hiyo kwa mamlaka zinazohusika na alindwe, na mamlaka hizo, kwa zawadi na usalama wa maisha yake.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Mwananchi akitoa taarifa nyeti kwa serikali asisalitiwe kwa namna yoyote ile na serikali hiyo, na serikali ikitoa taarifa nyeti kwa mwananchi isisalitiwe kwa namna yoyote ile na mwananchi huyo.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Kazi yenu kwetu ni kutusaidia, na kazi yetu kwenu ni kuwasaidia pia; kwani kila mwananchi anao wajibu wa kuisaidia serikali yake. BASATA, katika jina la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, endeleeni kuhamasisha na kuhakikisha wasanii wote nchini wanajisajili; kwa kuendelea kutoa tuzo mbalimbali za sanaa na jitihada nyingine, na kwa kuendelea kufuatilia kuhakikisha kuwa kila msanii anajisajili na kupata kibali.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Rais wa nchi kama humwelewi hujui. Mambo anayoyasimamia ni makubwa kuliko mwananchi wa kawaida anavyoweza kuelewa.”
Enock Maregesi