Å·±¦ÓéÀÖ

Ndugu Quotes

Quotes tagged as "ndugu" Showing 1-4 of 4
Enock Maregesi
“Kuajiri ndugu kunaathiri nguvu ya mamlaka.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Yusufu alikuwa hohehahe kabla na baada ya kuuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri. Hakuwa na pesa, hakuwa na elimu, hakujuana na viongozi wa serikali. Lakini kwa vile alikuwa na Mungu, Mungu alimbariki mpaka watu wote wakashangaa. Yusufu alikuwa maskini ili mimi na wewe tuwe na tumaini leo, kwamba tukiwa na Mungu katika maisha yetu hatutatafuta utajiri. Utajiri ndiyo utakaotutafuta sisi.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Ukiajiri ndugu usimwonee aibu! Namna hiyo ajira yake haitaathiri nguvu ya mamlaka yako.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Katika karne hii watu watawapenda zaidi marafiki kuliko ndugu.”
Enock Maregesi