Å·±¦ÓéÀÖ

New God Quotes

Quotes tagged as "new-god" Showing 1-2 of 2
Enock Maregesi
“Musa alipokuwa mlimani kupokea Amri Kumi za Mungu kwa ajili ya Wana wa Israeli alikawia sana kurudi, kiasi cha watu kukata tamaa na kujiona wapweke wakiwa njiani kuelekea katika Nchi ya Ahadi. Kutokana na woga usio na kifani na kukata huko kwa tamaa waliamua kutosubiri tena kusikia neno kutoka kwa Mungu, au kuiona sura halisi ya Mungu kama Musa alivyokuwa amewaahidi, hivyo wakamlazimisha Haruni awatengenezee mungu kutokana na taswira ambayo tayari walishakuwa nayo vichwani mwao kuhusu mungu waliyemtaka; yaani ndama wa dhahabu, au mungu mpya ambaye angewapa chochote walichotaka muda wowote waliotaka.”
Enock Maregesi

Albert Camus
“After all, pain, exile, or confinement are sometimes accepted when dictated by good sense or by the doctor. In the eyes of the rebel, what is missing from the misery of the world, as well as from its moments of happiness, is some principle by which they can be explained. The insurrection against evil is, above all, a demand for unity. The rebel obstinately confronts a world condemned to death and the impenetrable obscurity of the human condition with his demand for life and absolute clarity. He is seeking, without knowing it, a moral philosophy or a religion. Rebellion, even though it is blind, is a form of asceticism. Therefore, if the rebel blasphemes, it is in the hope of finding a new god.”
Albert Camus, The Rebel