欧宝娱乐

Tatizo Quotes

Quotes tagged as "tatizo" Showing 1-3 of 3
Enock Maregesi
“Hakuna uponyaji pasipo imani ya kweli. Giza linapoingia katika maisha yako ongea na Mungu. Halafu ongea na tatizo linalokusumbua. Kama tatizo linalokusumbua ni saratani, iambie saratani iondoke na kamwe isirudi katika mwili wako tena. Baada ya hapo, nenda kwa mchungaji. Jiweke wakfu, kwanza, kabla ya kuombewa.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Watu wakiwa wamekasirika ongea nao jibu; usiongee nao tatizo.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Kulipa deni si tatizo. Tatizo liko kwenye kulipa deni.”
Enock Maregesi