欧宝娱乐

To Suffer Quotes

Quotes tagged as "to-suffer" Showing 1-3 of 3
Enock Maregesi
“Tunazaliwa, kuteseka na kufa kwa sababu ya dhambi ya asili ya wazazi wetu wa kwanza (Adamu na Hawa). Kama Hawa asingekubali kudanganywa na Shetani, tungezaliwa bila uchungu, tungeishi bila kuteseka na tusingekufa milele. Lakini haya ndiyo mawazo yangu: Mungu Ahusiki na dhambi, Ahusiki na mwili, Anahusika na roho. Hivyo, mtu anapofariki mwili unabaki duniani lakini roho inarudi kwa Mungu; kwani Yeye ndiye aliyeitengeneza na kuiweka katika moyo wa mtu. Mimi na wewe ni viumbe vyenye thamani kubwa sana mbele za Mwenyezi Mungu; mapenzi Yake kwetu hayana masharti yoyote. Hainiingii akilini (hata kidogo) kumtesa mtu unayempenda kiasi hicho milele, wakati uwezo wa kumwokoa unao.”
Enock Maregesi

Dada Bhagwan
“The one experiencing the bitterness is in fact the doer. The doer is itself a vikalp (a false notion of 'I am this').”
Dada Bhagwan, Whatever Has Happened is Justice

Dada Bhagwan
“You will have to suffer the consequences of all that you renounce. Is it in our control to renounce (tyaag)? Is it in our control to acquire (grahan)? That is actually dependent upon one's merit-demerit karma (punya-paap)!”
Dada Bhagwan, Noble Use of Money