欧宝娱乐

Ukoloni Quotes

Quotes tagged as "ukoloni" Showing 1-2 of 2
Enock Maregesi
“Vita ni vilevile, ukoloni ni uleule, ubaguzi ni uleule, umaskini ni uleule, harakati za kijamii ni zilezile, matabaka ni yaleyale. Kwa nini tusiseme historia inajirudia? Tunatakiwa kujifunza kutokana na makosa tuliyoyafanya katika historia.”
Enock Maregesi

“Hapo basi - kijikeki. Kwa nini wewe upate kidogo? Sagamoyo ni kwenu, sherehe ni zenu, ufanisi ni wenu na keki kubwa ni ya kina nani?
Uhalisia wa mambo umekusibu; fungua macho uone. Keki ya uhuru imeliwa kwingine, mwaletewa masazo.”
Pauline Kea, Kigogo