欧宝娱乐

Kansa Quotes

Quotes tagged as "kansa" Showing 1-2 of 2
Kaarlo Uskela
“Moukka on kaikki kaikessa. H盲n on yleinen mielipide, h盲n on kaikki. Ilman moukkaa ei olisi olemassakaan yleist盲 mielipidett盲, vaan kukin saisi pit盲盲 oman mielipiteens盲. Jos ei olisi moukkia, niin ei olisi hallitsijoita eik盲 hallittavia, ei lakeja eik盲 lain s盲盲t盲ji盲, ei uskontoa eik盲 uskovaisia. Olisi olemassa vain ihmisi盲, jotka tekisiv盲t mit盲 haluttaisi.”
Kaarlo Uskela

Enock Maregesi
“Siku moja, jambo baya litatokea. Labda babu yako au mnyama wako kipenzi atafariki au shangazi yako atagundulika na kansa. Labda utafukuzwa kazi au utaachika kwa mumeo au mkeo mliyependana sana. Labda rafiki yako kipenzi atapata ajali mbaya ya gari na utatakiwa kupeleka taarifa kwa ndugu na marafiki zake. Kutoa taarifa ya jambo baya kwa mtu ni kazi ngumu sawa na kupokea taarifa ya jambo baya kutoka kwa mtu. Kama umeteuliwa kupeleka taarifa ya kifo au ya jambo lolote baya kwa mtu fanya hivyo kwa makini. Toa taarifa ya msiba au ya jambo lolote baya kwa hekima na busara kama Ibrahimu alivyofanya kwa Sara kuhusiana na kafara ya Isaka, si kama Mbenyamini alivyofanya kwa Eli kuhusiana na kutwaliwa kwa sanduku la agano na kuuwawa kwa watoto wake wawili. Jidhibiti kwanza wewe mwenyewe kama umeteuliwa kupeleka taarifa ya kifo au ya jambo lolote baya. Angalia kama wewe ni mtu sahihi wa kupeleka taarifa hiyo. Pangilia mawazo ya kile unachotaka kwenda kukisema au unachotaka kwenda kukiandika. Mwangalie machoni, si usoni, yule unayempelekea taarifa kisha mwambie kwa sauti ya upole nini kimetokea.”
Enock Maregesi