Å·±¦ÓéÀÖ

Zacchaeus Quotes

Quotes tagged as "zacchaeus" Showing 1-2 of 2
Enock Maregesi
“Lakini ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba utajiri una changamoto nyingi kuupata na kuudumisha pia kuliko usomi na kwamba ukweli ni amani ya Mungu katika moyo wa mwanadamu. Heri msomi kuliko tajiri â€� Heri yule aliyesoma kuliko tajiri asiyesoma au yule aliyesoma kuliko vile alivyosoma tajiri au tajiri asiyesoma au aliyesoma lakini asiyekuwa na tamaa kabisa na dunia hii ambaye kukosa kwake tamaa na dunia hii kunamfanya msomi. Ndivyo Kristo anavyomaanisha. Si kwamba tajiri hawezi kuuona ufalme wa mbinguni. Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yusufu, Daudi, Sulemani, Yehoshafati, Hezekia, Zakayo, Yoana, Susana, na Lidia watauona ufalme wa mbinguni na walikuwa matajiri. Mali zao zilivyozidi hawakuangalia moyoni, hawakuwa na tamaa kabisa na dunia hii, bali walimtumaini Mungu kwa kila kitu walichokuwa nacho. Anaweza. Lakini asiipende dunia bali ayapende mambo ya ufalme wa Mungu kwa moyo wake wote.”
Enock Maregesi

Brennan Manning
“In order to be free for the outcasts, the sinners, the marginals in his social world, Jesus had to keep his distance from the expectations and the moralizing judgments of the authorities and the respectable. When he walked with the notorious sinner Zacchaeus through the streets of Jericho, he was not fazed by the scandalized murmurs of the crowd. He wasn't looking around anxiously, fearing what people might say. He was neither afraid of their rejection nor concerned about stepping on toes. He was going to the home of Zacchaeus because this sinner was a child of his Father, that was all. And that's the name of that tune.”
Brennan Manning, Reflections for Ragamuffins: Daily Devotions from the Writings of Brennan Manning