Å·±¦ÓéÀÖ

Peace Of God Quotes

Quotes tagged as "peace-of-god" Showing 1-9 of 9
“Never give anybody permission to disturb your peace.
Always ignore negative comment.
Dwell on positive thoughts and occupied your mind with songs of praise.”
Lailah Gifty Akita

Israelmore Ayivor
“Choose to be at peace with yourself and you will never have any battle to lose. Find yourself every reason and season to share your peace with others!”
Israelmore Ayivor, Daily Drive 365

Andrena Sawyer
“If you wouldn't take on their regrets, don't you dare envy their highlights.”
Andrena Sawyer

Enock Maregesi
“Kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa raha ni rahisi kuliko kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa shida, na utahitaji imani kuendelea kumwamini wakati wa dhiki. Vipindi vigumu katika maisha yetu hutokea kwa kila mmoja wetu. Kuamini ya kwamba Mungu ana makusudi ya lazima kukuondolea vikwazo katika maisha yako ni vigumu sana wakati mwingine, lakini imani ndicho kitu cha muhimu zaidi unachotakiwa kuwa nacho katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa. Amani ya Mungu, ambayo huzidi hekima na maarifa yote ya kibinadamu, ni kuliamini neno la Mungu kwamba ni la kweli. Bila imani hutaweza kumfurahisha Mungu. Imani ni ufunguo wa nguvu, uwezo na neema ambavyo Mungu ametupangia. Kwa ufupi, Mungu ni mkubwa kuliko wewe na matatizo yako.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Lakini ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba utajiri una changamoto nyingi kuupata na kuudumisha pia kuliko usomi na kwamba ukweli ni amani ya Mungu katika moyo wa mwanadamu. Heri msomi kuliko tajiri â€� Heri yule aliyesoma kuliko tajiri asiyesoma au yule aliyesoma kuliko vile alivyosoma tajiri au tajiri asiyesoma au aliyesoma lakini asiyekuwa na tamaa kabisa na dunia hii ambaye kukosa kwake tamaa na dunia hii kunamfanya msomi. Ndivyo Kristo anavyomaanisha. Si kwamba tajiri hawezi kuuona ufalme wa mbinguni. Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yusufu, Daudi, Sulemani, Yehoshafati, Hezekia, Zakayo, Yoana, Susana, na Lidia watauona ufalme wa mbinguni na walikuwa matajiri. Mali zao zilivyozidi hawakuangalia moyoni, hawakuwa na tamaa kabisa na dunia hii, bali walimtumaini Mungu kwa kila kitu walichokuwa nacho. Anaweza. Lakini asiipende dunia bali ayapende mambo ya ufalme wa Mungu kwa moyo wake wote.”
Enock Maregesi

“The peace of God is possible no matter the pressures around us. Peace has to do with our mindsets, not with outside circumstances.”
Benjamin Suulola

Craig D. Lounsbrough
“Maybe finding ‘peace of mindâ€� begins by realizing that ‘peaceâ€� will never begin in my ‘mind.â€� And if I spend my life paying such a thought ‘no mind,â€� never-mind finding ‘peace.”
Craig D. Lounsbrough