Higgs Boson Quotes
Quotes tagged as "higgs-boson"
Showing 1-13 of 13
“That name was a kind of joke, and not a very good one. An author, Leon Lederman, wanted to call it 'that goddamn particle' because it was clear it was going to be a tough job finding it experimentally. His editor wouldn't have that, and he said, 'okay, call it the God particle,' and the editor accepted it. I don't think he should've have done, because it's so misleading'.”
―
―
“As for karma itself, it is apparently only that which binds "jiva" (sentience, life, spirit, etc.) with "ajiva" (the lifeless, material aspect of this world) - perhaps not unlike that which science seeks to bind energy with mass (if I understand either concept correctly). But it is only through asceticism that one might shed his predestined karmic allotment.
I suppose this is what I still don't quite understand in any of these shramanic philosophies, though - their end-game. Their "moksha", or "mukti", or "samsara". This oneness/emptiness, liberation/ transcendence of karma/ajiva, of rebirth and ego - of "the self", of life, of everything. How exactly would this state differ from any standard, scientific definition of death? Plain old death. Or, at most, if any experience remains, from what might be more commonly imagined/feared to be death - some dark perpetual existence of paralyzed, semi-conscious nothingness. An incessant dreamless sleep from which one never wakes? They all assure you, of course, that this will be no condition of endless torment, but rather one of "eternal bliss". Inexplicable, incommunicable "bliss", mind you, but "bliss" nonetheless.
So many in the realm of science, too, seem to propagate a notion of "bliss" - only here, in this world, with the universe being some great amusement park of non-stop "wonder" and "discovery". Any truly scientific, unbiased examination of their "discoveries", though, only ever seems to reveal a world that simply just "is" - where "wonder" is merely a euphemism for ignorance, and learning is its own reward because, frankly, nothing else ever could be.
Still, the scientist seeks to conquer this ignorance, even though his very happiness depends on it - offering only some pale vision of eternal dumbfoundedness, and endless hollow surprises. The shramana, on the other hand, offers total knowledge of this hollowness, all at once - renouncing any form of happiness or pleasure, here, to seek some other ultimate, unknowable "bliss", off in the beyond...”
― Citations: A Brief Anthology
I suppose this is what I still don't quite understand in any of these shramanic philosophies, though - their end-game. Their "moksha", or "mukti", or "samsara". This oneness/emptiness, liberation/ transcendence of karma/ajiva, of rebirth and ego - of "the self", of life, of everything. How exactly would this state differ from any standard, scientific definition of death? Plain old death. Or, at most, if any experience remains, from what might be more commonly imagined/feared to be death - some dark perpetual existence of paralyzed, semi-conscious nothingness. An incessant dreamless sleep from which one never wakes? They all assure you, of course, that this will be no condition of endless torment, but rather one of "eternal bliss". Inexplicable, incommunicable "bliss", mind you, but "bliss" nonetheless.
So many in the realm of science, too, seem to propagate a notion of "bliss" - only here, in this world, with the universe being some great amusement park of non-stop "wonder" and "discovery". Any truly scientific, unbiased examination of their "discoveries", though, only ever seems to reveal a world that simply just "is" - where "wonder" is merely a euphemism for ignorance, and learning is its own reward because, frankly, nothing else ever could be.
Still, the scientist seeks to conquer this ignorance, even though his very happiness depends on it - offering only some pale vision of eternal dumbfoundedness, and endless hollow surprises. The shramana, on the other hand, offers total knowledge of this hollowness, all at once - renouncing any form of happiness or pleasure, here, to seek some other ultimate, unknowable "bliss", off in the beyond...”
― Citations: A Brief Anthology

“Mimi na wewe na vitu vyote ulimwenguni ni wazito kwa sababu ya 'Higgs Boson', inayojulikana pia kama 'The God’s Particle'. Wanasayansi wa CERN wamekuwa wakiitafuta 'higgs' (iliyojificha ndani ya 'higgs field') kwa zaidi ya miaka hamsini sasa, kwa bajeti ya pauni za Uingereza bilioni sita. Chembe ya 'higgs' ikipatikana itawajulisha wanasayansi jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa, na jibu la kitendawili cha 'Standard Model' litapatikana.”
―
―

“Kuna mambo yanatokea hapa ulimwenguni ambayo yanafanya nikiri uwepo wa Mungu kwa asilimia kubwa. Wanasayansi wanasema ulimwengu ulianzishwa na mlipuko wa ‘Big Bangâ€�, uliotokea takribani miaka bilioni 14 iliyopita, kutoka katika kitu kidogo zaidi kuliko ncha ya sindano, lakini hawatuambii nini kilisababisha mlipuko huo utokee au hicho kitu kidogo kuliko ncha ya sindano kilitoka au kilikuwa wapi.
Wanaendelea kusema kuwa baada ya ‘Big Bang� kutakuwepo na ‘Big Crunch�, ambapo ulimwengu utarudia hali yake ya awali ya udogo kuliko ncha ya sindano, na kila kitu kinachoonekana leo ulimwenguni hakitaonekana tena.
Hapo sasa ndipo utata unapokuja. Mlipuko wa ‘Big Bang� ulipotokea ulimwengu ulilipuka na kusambaa pande zote nne za ulimwengu kwa mwendokasi wa zaidi ya kilometa milioni 2 kwa saa, mpaka hivi leo unavyoonekana na bado unaendelea kusambaa. Kutokana na dhana ya ‘Big Crunch�, wanasayansi wanaamini ulimwengu utapanuka ila baadaye utapungua mwendo na utarudi mwanzo kabisa mahali ulipolipukia.
Lakini mwaka 1995 wanasayansi hao hao waligundua kitu. Ulimwengu � badala ya kupungua mwendo wa kupanuka kama wanasayansi walivyokuwa wakitabiri � sasa unaongeza mwendo, tena kwa mwendokasi ambao haujawahi kutokea.
Hiki ni nini kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kiasi hicho badala ya kuupunguza? Hicho ni nini ambacho ulimwengu unapanukia? Wanasayansi hawana jibu. Wanasingizia kitu kinaitwa ‘dark matter�, maada ambayo haijawahi kuonekana, kwamba ndicho kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kwa kiwango hicho ambacho hakijawahi kutokea; na hicho ambacho ulimwengu unapanukia wanahisi ulimwengu wetu unapanukia katika ulimwengu mwingine, kwa mujibu wa dhana nyingine kabisa iitwayo ‘multiverse� au ‘meta-universe�.
Kuna kitu kinaitwa ‘Higgs boson� � chembe ndogo inayosemekana kuhusika na uzito (‘mass�) wa chembe ndogo 16 zilizomo ndani ya atomu, kasoro chembe ya mwanga, iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa ‘Big Bang� miaka bilioni 13.7 iliyopita katika kipindi kilichoitwa ‘epoch� � ambayo ilianza kutafutwa katika maabara za CERN, Uswisi, toka mwaka 1964, maabara ambazo kazi yake kubwa ni kutengeneza mazingira ya mwanzo kabisa ya mlipuko wa ‘Big Bang�, kusudi wanasayansi waone kama wanaweza kubahatisha kuiona na kuidhibiti hiyo bosoni.
Bosoni itakapopatikana wanasayansi watajua siri ya ‘dark matter�, watajua jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa na jibu la kitendawili cha ‘Standard Model� litapatikana.
Hiyo ni kazi ngumu. Ndiyo maana ‘Higgs boson� mwaka 1993 iliitwa ‘The God Particle�. Yaani, wanasayansi wanahisi kuna muujiza wa Kimungu na huenda wasiipate kabisa hiyo bosoni. Wanasema waliipata mwaka 2013. Lakini hiyo waliyoipata bado ina utata.
Kutokana na kushindwa huko kwa sayansi na historia, kutokana na kushindwa kwa sayansi kutengeneza binadamu au mnyama, kutokana na miujiza iliyorekodiwa katika vitabu vitakatifu; naamini, Mungu yupo.”
―
Wanaendelea kusema kuwa baada ya ‘Big Bang� kutakuwepo na ‘Big Crunch�, ambapo ulimwengu utarudia hali yake ya awali ya udogo kuliko ncha ya sindano, na kila kitu kinachoonekana leo ulimwenguni hakitaonekana tena.
Hapo sasa ndipo utata unapokuja. Mlipuko wa ‘Big Bang� ulipotokea ulimwengu ulilipuka na kusambaa pande zote nne za ulimwengu kwa mwendokasi wa zaidi ya kilometa milioni 2 kwa saa, mpaka hivi leo unavyoonekana na bado unaendelea kusambaa. Kutokana na dhana ya ‘Big Crunch�, wanasayansi wanaamini ulimwengu utapanuka ila baadaye utapungua mwendo na utarudi mwanzo kabisa mahali ulipolipukia.
Lakini mwaka 1995 wanasayansi hao hao waligundua kitu. Ulimwengu � badala ya kupungua mwendo wa kupanuka kama wanasayansi walivyokuwa wakitabiri � sasa unaongeza mwendo, tena kwa mwendokasi ambao haujawahi kutokea.
Hiki ni nini kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kiasi hicho badala ya kuupunguza? Hicho ni nini ambacho ulimwengu unapanukia? Wanasayansi hawana jibu. Wanasingizia kitu kinaitwa ‘dark matter�, maada ambayo haijawahi kuonekana, kwamba ndicho kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kwa kiwango hicho ambacho hakijawahi kutokea; na hicho ambacho ulimwengu unapanukia wanahisi ulimwengu wetu unapanukia katika ulimwengu mwingine, kwa mujibu wa dhana nyingine kabisa iitwayo ‘multiverse� au ‘meta-universe�.
Kuna kitu kinaitwa ‘Higgs boson� � chembe ndogo inayosemekana kuhusika na uzito (‘mass�) wa chembe ndogo 16 zilizomo ndani ya atomu, kasoro chembe ya mwanga, iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa ‘Big Bang� miaka bilioni 13.7 iliyopita katika kipindi kilichoitwa ‘epoch� � ambayo ilianza kutafutwa katika maabara za CERN, Uswisi, toka mwaka 1964, maabara ambazo kazi yake kubwa ni kutengeneza mazingira ya mwanzo kabisa ya mlipuko wa ‘Big Bang�, kusudi wanasayansi waone kama wanaweza kubahatisha kuiona na kuidhibiti hiyo bosoni.
Bosoni itakapopatikana wanasayansi watajua siri ya ‘dark matter�, watajua jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa na jibu la kitendawili cha ‘Standard Model� litapatikana.
Hiyo ni kazi ngumu. Ndiyo maana ‘Higgs boson� mwaka 1993 iliitwa ‘The God Particle�. Yaani, wanasayansi wanahisi kuna muujiza wa Kimungu na huenda wasiipate kabisa hiyo bosoni. Wanasema waliipata mwaka 2013. Lakini hiyo waliyoipata bado ina utata.
Kutokana na kushindwa huko kwa sayansi na historia, kutokana na kushindwa kwa sayansi kutengeneza binadamu au mnyama, kutokana na miujiza iliyorekodiwa katika vitabu vitakatifu; naamini, Mungu yupo.”
―

“Wanasayansi wana uwezo wa kupeleleza hadi kipindi cha karne ya kwanza ambapo Yesu aliishi, alikufa, alifufuka na alipaa kwenda mbinguni, na wana uwezo wa kujua mambo mengi kwa hakika yaliyofanyika katika kipindi hicho na hata katika kipindi cha kabla ya hapo.
Kuna miujiza ambayo Yesu aliifanya ambayo haiko ndani ya Biblia. Kwa mfano, Biblia inasema Yesu alizaliwa ndani ya zizi la ng’ombe wakati sayansi inasema alizaliwa nje ya zizi la ng’ombe; na muujiza wa kwanza kuufanya ambao hauko ndani ya Biblia ni kutembea mara tu baada ya kuzaliwa, na watu na ndege wa angani kuganda kabla ya kuzaliwa Masihi na kabla ya wakunga kufika kumsaidia Maria Magdalena kujifungua.
Akiwa na umri wa miaka sita, sayansi inasema, Yesu alikuwa akicheza na mtoto mwenzake juu ya paa la nyumba ya jirani na mara Yesu akamsukuma mwenzake kutoka juu hadi chini na mwenzake huyo akafariki papo hapo. Watu walipomsonga sana Yesu kwa kumtuhumu kuwa yeye ndiye aliyesababisha kifo cha mwenzake, na kwamba wangemfungulia mashtaka, Yesu alikataa katakata kuhusika na kifo hicho.
Lakini walipozidi kumsonga, aliusogelea mwili wa rafiki yake kisha akamwita na kumwambia asimame. Yule mtoto alisimama! Huo ukawa muujiza mkubwa wa kwanza wa Yesu Kristo, kufufua mtu nje ya maandiko matakatifu.
Kuna mifano mingi inayodhihirisha uwepo wa Mungu ambayo wanasayansi hawawezi hata kuipatia majibu. Tukio la Yoshua kusimamisha jua limewashangaza wanasayansi hadi nyakati za leo. Mwanzoni mwa miaka ya 70 wanasayansi walijaribu kurudisha muda nyuma kwa kompyuta kuona kama kweli wangekuta takribani siku moja imepotea kama ilivyorekodiwa katika Biblia.
Cha kushangaza, cha kushangaza mno, walikuta saa 23 na dakika 20 zimepotea katika mazingira ambayo hawakuweza na hawataweza kuyaelewa. Walipochunguza vizuri walikuta ni kipindi cha miaka ya 1500 KK (Jumanne tarehe 22 Julai) ambacho ndicho tukio la Yoshua la kusimamisha jua na kusogeza mwezi nyuma digrii 10, ambazo ni sawa na mzunguko wa dakika 40, lilipotokea.
Kwa kutumia elimu ya wendo, elimu ya kupanga miaka na matukio ya Kibiblia, dunia iliumbwa Jumapili tarehe 22 Septemba mwaka 4000 KK. Hata hivyo, mahesabu ya kalenda yanaonyesha kuwa Septemba 22 ilikuwa Jumatatu (si Jumapili) na kwamba kosa hilo labda lilisababishwa na siku ya Yoshua iliyopotea.
Hayo yote ni kwa mujibu wa Profesa C. A. Totten, wa Chuo Kikuu cha Yale, katika kitabu chake cha ‘Joshua’s Long Day and the Dial of Ahaz: A Scientific Vindication and a Midnight Cry� kilichochapishwa mwaka 1890.
Kama hakuna Mungu iliwezekanaje Yoshua aombe jua lisimame na jua likasimama kweli? Iliwezekanaje Yesu aseme atakufa, atafufuka na atapaa kwenda mbinguni na kweli ikatokea kama alivyosema? Ndani ya Biblia kuna tabiri 333 zilizotabiri maisha yote ya Yesu Kristo hapa duniani na zote zilitimia � bila kupungua hata moja. Utasemaje hapo hakuna Mungu? Mungu yupo, naamini, sijui.
Tukio la Yesu kufa, kufufuka na kupaa kwenda mbinguni si la vitabu vitakatifu pekee, hata sayansi inakubaliana na hilo.”
―
Kuna miujiza ambayo Yesu aliifanya ambayo haiko ndani ya Biblia. Kwa mfano, Biblia inasema Yesu alizaliwa ndani ya zizi la ng’ombe wakati sayansi inasema alizaliwa nje ya zizi la ng’ombe; na muujiza wa kwanza kuufanya ambao hauko ndani ya Biblia ni kutembea mara tu baada ya kuzaliwa, na watu na ndege wa angani kuganda kabla ya kuzaliwa Masihi na kabla ya wakunga kufika kumsaidia Maria Magdalena kujifungua.
Akiwa na umri wa miaka sita, sayansi inasema, Yesu alikuwa akicheza na mtoto mwenzake juu ya paa la nyumba ya jirani na mara Yesu akamsukuma mwenzake kutoka juu hadi chini na mwenzake huyo akafariki papo hapo. Watu walipomsonga sana Yesu kwa kumtuhumu kuwa yeye ndiye aliyesababisha kifo cha mwenzake, na kwamba wangemfungulia mashtaka, Yesu alikataa katakata kuhusika na kifo hicho.
Lakini walipozidi kumsonga, aliusogelea mwili wa rafiki yake kisha akamwita na kumwambia asimame. Yule mtoto alisimama! Huo ukawa muujiza mkubwa wa kwanza wa Yesu Kristo, kufufua mtu nje ya maandiko matakatifu.
Kuna mifano mingi inayodhihirisha uwepo wa Mungu ambayo wanasayansi hawawezi hata kuipatia majibu. Tukio la Yoshua kusimamisha jua limewashangaza wanasayansi hadi nyakati za leo. Mwanzoni mwa miaka ya 70 wanasayansi walijaribu kurudisha muda nyuma kwa kompyuta kuona kama kweli wangekuta takribani siku moja imepotea kama ilivyorekodiwa katika Biblia.
Cha kushangaza, cha kushangaza mno, walikuta saa 23 na dakika 20 zimepotea katika mazingira ambayo hawakuweza na hawataweza kuyaelewa. Walipochunguza vizuri walikuta ni kipindi cha miaka ya 1500 KK (Jumanne tarehe 22 Julai) ambacho ndicho tukio la Yoshua la kusimamisha jua na kusogeza mwezi nyuma digrii 10, ambazo ni sawa na mzunguko wa dakika 40, lilipotokea.
Kwa kutumia elimu ya wendo, elimu ya kupanga miaka na matukio ya Kibiblia, dunia iliumbwa Jumapili tarehe 22 Septemba mwaka 4000 KK. Hata hivyo, mahesabu ya kalenda yanaonyesha kuwa Septemba 22 ilikuwa Jumatatu (si Jumapili) na kwamba kosa hilo labda lilisababishwa na siku ya Yoshua iliyopotea.
Hayo yote ni kwa mujibu wa Profesa C. A. Totten, wa Chuo Kikuu cha Yale, katika kitabu chake cha ‘Joshua’s Long Day and the Dial of Ahaz: A Scientific Vindication and a Midnight Cry� kilichochapishwa mwaka 1890.
Kama hakuna Mungu iliwezekanaje Yoshua aombe jua lisimame na jua likasimama kweli? Iliwezekanaje Yesu aseme atakufa, atafufuka na atapaa kwenda mbinguni na kweli ikatokea kama alivyosema? Ndani ya Biblia kuna tabiri 333 zilizotabiri maisha yote ya Yesu Kristo hapa duniani na zote zilitimia � bila kupungua hata moja. Utasemaje hapo hakuna Mungu? Mungu yupo, naamini, sijui.
Tukio la Yesu kufa, kufufuka na kupaa kwenda mbinguni si la vitabu vitakatifu pekee, hata sayansi inakubaliana na hilo.”
―

“Lazima kuna mtu, si kitu, mwenye akili ya kupindukia, aliyeanzisha kila kitu kinachoonekana ulimwenguni. Mwaka 1995 wanasayansi waligundua kitu kilichowashtua kuliko kitu kingine chochote kile katika historia ya uwepo wao. Waligundua kuwa ulimwengu unaongeza mwendo wa kupanuka katika pande zote nne za ulimwengu â€� kwa mwendokasi wa maili milioni mbili kwa saa! Nini kinasababisha ulimwengu uongeze mwendo kiasi hicho badala ya kuupunguza? Ni nini hicho ambacho ulimwengu unapanukia? Mpaka sayansi ijibu maswali hayo na mengineyo mengi, kama vile kitendawili cha ‘standard modelâ€� na chembe ya ‘bosonâ€� inayofanya kila kitu ulimwenguni kuwa na uzito, nitaendelea kuamini kuna Mtu anayesababisha yote hayo kutokea.”
―
―

“Kiongozi wa kanda ya Afrika ya Kusini ya Tume ya Dunia Kamishna Profesa Justin Mafuru, alijitolea maisha yake kufanya vitu viwili vya msingi kwa ajili ya dunia: Kukomesha madawa haramu ya kulevya nchini Tanzania na duniani kwa jumla, kupitia Tume ya Dunia, na kutafuta kupitia maabara za CERN ('Conseil Européen pour la Recherche Nucléaire') chembe ndogo ya 'higgs' ('Higgs Boson') inayosemekana kuhusika na uzito ('mass') wa chembe ndogo kumi na sita za atomu kasoro chembe ya mwanga; iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa 'Big Bang', miaka bilioni kumi na tatu nukta saba iliyopita kwa faida ya uanadamu.”
― Kolonia Santita
― Kolonia Santita

“Ndani ya sekunde moja baada ya ulimwengu wetu kuumbwa, miaka bilioni kumi na tatu nukta saba tano iliyopita, chembe zote ndogo zinazopatikana ndani ya atomu zilitengenezwa. Zote hizo zimeshapatikana isipokuwa 'Higgs Boson', na 'Higgs Boson' ndiyo ya muhimu kuliko zote.”
―
―

“One Lying Jeep by Stewart Stafford
Pavlov's dogs got hold of,
Occam's Razor and shaved,
Archimedes in the bath while,
Pureeing Newton's apple core.
Ecstasy = McDonald's Squared,
Leaning Tower of Pizza Experiment,
A swirl of Higgs Boson minestrone,
Quaffed blind with Halley's Vomit.
Ignore a Big Bang in your black hole,
Red Giant piggybacking a White Dwarf,
Massive obelisk stuck in the Stargate,
Happy Doomsday to you - lights out.
© Stewart Stafford, 2022. All rights reserved.”
―
Pavlov's dogs got hold of,
Occam's Razor and shaved,
Archimedes in the bath while,
Pureeing Newton's apple core.
Ecstasy = McDonald's Squared,
Leaning Tower of Pizza Experiment,
A swirl of Higgs Boson minestrone,
Quaffed blind with Halley's Vomit.
Ignore a Big Bang in your black hole,
Red Giant piggybacking a White Dwarf,
Massive obelisk stuck in the Stargate,
Happy Doomsday to you - lights out.
© Stewart Stafford, 2022. All rights reserved.”
―
“Our Higgs Boson is a way of thinking, of making Quantum Leaps in the thought processes that ultimately lead to insights that are considered beyond the normal scope of thinking.”
―
―
“The Five Things your Brain needs to Discover Your Higgs Boson to do more and get more out of every situation.
1. Be Flexible
2. Be Curious
3. Fill what is empty
4. Make a Quantum Leap
5. Stay Focused.”
―
1. Be Flexible
2. Be Curious
3. Fill what is empty
4. Make a Quantum Leap
5. Stay Focused.”
―
“When I turn my Higgs Boson on, the answered voice Comes across and tells me not to keep silent, but to look for new dictionaries.”
―
―
All Quotes
|
My Quotes
|
Add A Quote
Browse By Tag
- Love Quotes 99.5k
- Life Quotes 78k
- Inspirational Quotes 74.5k
- Humor Quotes 44.5k
- Philosophy Quotes 30.5k
- Inspirational Quotes Quotes 27.5k
- God Quotes 26.5k
- Truth Quotes 24k
- Wisdom Quotes 24k
- Romance Quotes 23.5k
- Poetry Quotes 22.5k
- Life Lessons Quotes 20.5k
- Death Quotes 20.5k
- Happiness Quotes 19k
- Quotes Quotes 18.5k
- Hope Quotes 18k
- Faith Quotes 18k
- Inspiration Quotes 17k
- Spirituality Quotes 15.5k
- Religion Quotes 15k
- Motivational Quotes 15k
- Writing Quotes 15k
- Relationships Quotes 15k
- Life Quotes Quotes 14.5k
- Love Quotes Quotes 14.5k
- Success Quotes 13.5k
- Time Quotes 12.5k
- Motivation Quotes 12.5k
- Science Quotes 12k
- Motivational Quotes Quotes 11.5k