Sunday Quotes
Quotes tagged as "sunday"
Showing 31-60 of 90

“I don't want a religion that I put away with my Sunday clothes, and don't take out till the day comes around again; I want something to see and feel and live day by day.”
― An Old-Fashioned Girl
― An Old-Fashioned Girl

“Sundays are like confetti floating in the air in slow motion, in the evening they reach the ground and you hope a bit of wind could blow on them so they could fly a bit longer.”
― running is flying intermittently
― running is flying intermittently

“And of a Sunday swarm the folk
Under the honeysuckle vine,
Quaffing, the while they talk and smoke,
The sun, the melody, the wine.”
― Émaux et Camées
Under the honeysuckle vine,
Quaffing, the while they talk and smoke,
The sun, the melody, the wine.”
― Émaux et Camées

“It was the kind of Sunday to make one ache for Monday morning.”
― South and West: From a Notebook
― South and West: From a Notebook

“Is there any place on Earth that smells better than a laundromat? It's like a rainy Sunday when you don't have to get out from under your covers, or like lying back on the grass your father's just mowed - comfort food for your nose.”
― My Sister’s Keeper
― My Sister’s Keeper

“To summarize, Easter Sunday is the most important Sunday. It is the Sunday of all Sundays. It is the day of the new beginning of the entire cosmos, the day of resurrection.
In our worship we must be careful not to reduce our message to the Easter fact only. The Easter fact must include the message this fact proclaims: God makes all things new. It must also include the message that we have been raised with Christ. Calling God's people to die to sin and rise to the new life is central not only to Easter day but to the Easter season.”
― Ancient-Future Time: Forming Spirituality through the Christian Year
In our worship we must be careful not to reduce our message to the Easter fact only. The Easter fact must include the message this fact proclaims: God makes all things new. It must also include the message that we have been raised with Christ. Calling God's people to die to sin and rise to the new life is central not only to Easter day but to the Easter season.”
― Ancient-Future Time: Forming Spirituality through the Christian Year

“Sunday -- that airless graveyard that the brutalized week finally stumbles into and collapses”
― Wake up. We're Almost There
― Wake up. We're Almost There

“Off Sundays the blacksmith put on his best clothes and went for a quiet walk about the town and its environs. He was not a churchgoer, but he was an honest and religious man, with a thousand sins of which he repented, and a thousand of God's blessings which gladdened his heart.”
― The Women at the Pump
― The Women at the Pump

“Observe the Lord’s Day as he would have you, and perhaps He will observe your days as you would have Him.”
― Slaying Dragons: Quotes, Poetry, & a Few Short Stories for Every Day of the Year
― Slaying Dragons: Quotes, Poetry, & a Few Short Stories for Every Day of the Year

“How necessary Sundays have become. I reach for them like sleeping lovers on the other side of my earth or my mattress.”
―
―

“אבל יום ראשון הוא יום קסום. אפילו לנו. רק מפני שזה יום ראשון.
לערבים יש יום שישי, וליהודים שבת. שלושתם יחד יוצרים מה שקוראים האמריקאים סוף שבוע ארוך.”
― Saving Mozart
לערבים יש יום שישי, וליהודים שבת. שלושתם יחד יוצרים מה שקוראים האמריקאים סוף שבוע ארוך.”
― Saving Mozart

“In Hebrew, the word Sabbath means “rest.� The purpose of the Sabbath dates back to the Creation of the world, when after six days of labor the Lord rested from the work of creation. When He later revealed the Ten Commandments to Moses, God commanded that we “remember the sabbath day, to keep it holy.� Later, the Sabbath was observed as a reminder of the deliverance of Israel from their bondage in Egypt. Perhaps most important, the Sabbath was given as a perpetual covenant, a constant reminder that the Lord may sanctify His people.
In addition, we now partake of the sacrament on the Sabbath day in remembrance of the Atonement of Jesus Christ. Again, we covenant that we are willing to take upon us His holy name.”
― Accomplishing the Impossible: What God Does, What We Can Do
In addition, we now partake of the sacrament on the Sabbath day in remembrance of the Atonement of Jesus Christ. Again, we covenant that we are willing to take upon us His holy name.”
― Accomplishing the Impossible: What God Does, What We Can Do

“...to pick up an old-fashioned newspaper, ink barely dry, staining my fingers in that beautiful hue of grey that is messy and decadent at the same time. I lick to get to the Food section and the Arts and Entertainment section, my greedy little fingers wrapped around both the awkward pages of the dying art and my coffee mug as I curl into what I deem relaxation.”
―
―

“Kuna mambo yanatokea hapa ulimwenguni ambayo yanafanya nikiri uwepo wa Mungu kwa asilimia kubwa. Wanasayansi wanasema ulimwengu ulianzishwa na mlipuko wa ‘Big Bang�, uliotokea takribani miaka bilioni 14 iliyopita, kutoka katika kitu kidogo zaidi kuliko ncha ya sindano, lakini hawatuambii nini kilisababisha mlipuko huo utokee au hicho kitu kidogo kuliko ncha ya sindano kilitoka au kilikuwa wapi.
Wanaendelea kusema kuwa baada ya ‘Big Bang� kutakuwepo na ‘Big Crunch�, ambapo ulimwengu utarudia hali yake ya awali ya udogo kuliko ncha ya sindano, na kila kitu kinachoonekana leo ulimwenguni hakitaonekana tena.
Hapo sasa ndipo utata unapokuja. Mlipuko wa ‘Big Bang� ulipotokea ulimwengu ulilipuka na kusambaa pande zote nne za ulimwengu kwa mwendokasi wa zaidi ya kilometa milioni 2 kwa saa, mpaka hivi leo unavyoonekana na bado unaendelea kusambaa. Kutokana na dhana ya ‘Big Crunch�, wanasayansi wanaamini ulimwengu utapanuka ila baadaye utapungua mwendo na utarudi mwanzo kabisa mahali ulipolipukia.
Lakini mwaka 1995 wanasayansi hao hao waligundua kitu. Ulimwengu � badala ya kupungua mwendo wa kupanuka kama wanasayansi walivyokuwa wakitabiri � sasa unaongeza mwendo, tena kwa mwendokasi ambao haujawahi kutokea.
Hiki ni nini kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kiasi hicho badala ya kuupunguza? Hicho ni nini ambacho ulimwengu unapanukia? Wanasayansi hawana jibu. Wanasingizia kitu kinaitwa ‘dark matter�, maada ambayo haijawahi kuonekana, kwamba ndicho kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kwa kiwango hicho ambacho hakijawahi kutokea; na hicho ambacho ulimwengu unapanukia wanahisi ulimwengu wetu unapanukia katika ulimwengu mwingine, kwa mujibu wa dhana nyingine kabisa iitwayo ‘multiverse� au ‘meta-universe�.
Kuna kitu kinaitwa ‘Higgs boson� � chembe ndogo inayosemekana kuhusika na uzito (‘mass�) wa chembe ndogo 16 zilizomo ndani ya atomu, kasoro chembe ya mwanga, iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa ‘Big Bang� miaka bilioni 13.7 iliyopita katika kipindi kilichoitwa ‘epoch� � ambayo ilianza kutafutwa katika maabara za CERN, Uswisi, toka mwaka 1964, maabara ambazo kazi yake kubwa ni kutengeneza mazingira ya mwanzo kabisa ya mlipuko wa ‘Big Bang�, kusudi wanasayansi waone kama wanaweza kubahatisha kuiona na kuidhibiti hiyo bosoni.
Bosoni itakapopatikana wanasayansi watajua siri ya ‘dark matter�, watajua jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa na jibu la kitendawili cha ‘Standard Model� litapatikana.
Hiyo ni kazi ngumu. Ndiyo maana ‘Higgs boson� mwaka 1993 iliitwa ‘The God Particle�. Yaani, wanasayansi wanahisi kuna muujiza wa Kimungu na huenda wasiipate kabisa hiyo bosoni. Wanasema waliipata mwaka 2013. Lakini hiyo waliyoipata bado ina utata.
Kutokana na kushindwa huko kwa sayansi na historia, kutokana na kushindwa kwa sayansi kutengeneza binadamu au mnyama, kutokana na miujiza iliyorekodiwa katika vitabu vitakatifu; naamini, Mungu yupo.”
―
Wanaendelea kusema kuwa baada ya ‘Big Bang� kutakuwepo na ‘Big Crunch�, ambapo ulimwengu utarudia hali yake ya awali ya udogo kuliko ncha ya sindano, na kila kitu kinachoonekana leo ulimwenguni hakitaonekana tena.
Hapo sasa ndipo utata unapokuja. Mlipuko wa ‘Big Bang� ulipotokea ulimwengu ulilipuka na kusambaa pande zote nne za ulimwengu kwa mwendokasi wa zaidi ya kilometa milioni 2 kwa saa, mpaka hivi leo unavyoonekana na bado unaendelea kusambaa. Kutokana na dhana ya ‘Big Crunch�, wanasayansi wanaamini ulimwengu utapanuka ila baadaye utapungua mwendo na utarudi mwanzo kabisa mahali ulipolipukia.
Lakini mwaka 1995 wanasayansi hao hao waligundua kitu. Ulimwengu � badala ya kupungua mwendo wa kupanuka kama wanasayansi walivyokuwa wakitabiri � sasa unaongeza mwendo, tena kwa mwendokasi ambao haujawahi kutokea.
Hiki ni nini kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kiasi hicho badala ya kuupunguza? Hicho ni nini ambacho ulimwengu unapanukia? Wanasayansi hawana jibu. Wanasingizia kitu kinaitwa ‘dark matter�, maada ambayo haijawahi kuonekana, kwamba ndicho kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kwa kiwango hicho ambacho hakijawahi kutokea; na hicho ambacho ulimwengu unapanukia wanahisi ulimwengu wetu unapanukia katika ulimwengu mwingine, kwa mujibu wa dhana nyingine kabisa iitwayo ‘multiverse� au ‘meta-universe�.
Kuna kitu kinaitwa ‘Higgs boson� � chembe ndogo inayosemekana kuhusika na uzito (‘mass�) wa chembe ndogo 16 zilizomo ndani ya atomu, kasoro chembe ya mwanga, iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa ‘Big Bang� miaka bilioni 13.7 iliyopita katika kipindi kilichoitwa ‘epoch� � ambayo ilianza kutafutwa katika maabara za CERN, Uswisi, toka mwaka 1964, maabara ambazo kazi yake kubwa ni kutengeneza mazingira ya mwanzo kabisa ya mlipuko wa ‘Big Bang�, kusudi wanasayansi waone kama wanaweza kubahatisha kuiona na kuidhibiti hiyo bosoni.
Bosoni itakapopatikana wanasayansi watajua siri ya ‘dark matter�, watajua jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa na jibu la kitendawili cha ‘Standard Model� litapatikana.
Hiyo ni kazi ngumu. Ndiyo maana ‘Higgs boson� mwaka 1993 iliitwa ‘The God Particle�. Yaani, wanasayansi wanahisi kuna muujiza wa Kimungu na huenda wasiipate kabisa hiyo bosoni. Wanasema waliipata mwaka 2013. Lakini hiyo waliyoipata bado ina utata.
Kutokana na kushindwa huko kwa sayansi na historia, kutokana na kushindwa kwa sayansi kutengeneza binadamu au mnyama, kutokana na miujiza iliyorekodiwa katika vitabu vitakatifu; naamini, Mungu yupo.”
―

“Wanasayansi wana uwezo wa kupeleleza hadi kipindi cha karne ya kwanza ambapo Yesu aliishi, alikufa, alifufuka na alipaa kwenda mbinguni, na wana uwezo wa kujua mambo mengi kwa hakika yaliyofanyika katika kipindi hicho na hata katika kipindi cha kabla ya hapo.
Kuna miujiza ambayo Yesu aliifanya ambayo haiko ndani ya Biblia. Kwa mfano, Biblia inasema Yesu alizaliwa ndani ya zizi la ng’ombe wakati sayansi inasema alizaliwa nje ya zizi la ng’ombe; na muujiza wa kwanza kuufanya ambao hauko ndani ya Biblia ni kutembea mara tu baada ya kuzaliwa, na watu na ndege wa angani kuganda kabla ya kuzaliwa Masihi na kabla ya wakunga kufika kumsaidia Maria Magdalena kujifungua.
Akiwa na umri wa miaka sita, sayansi inasema, Yesu alikuwa akicheza na mtoto mwenzake juu ya paa la nyumba ya jirani na mara Yesu akamsukuma mwenzake kutoka juu hadi chini na mwenzake huyo akafariki papo hapo. Watu walipomsonga sana Yesu kwa kumtuhumu kuwa yeye ndiye aliyesababisha kifo cha mwenzake, na kwamba wangemfungulia mashtaka, Yesu alikataa katakata kuhusika na kifo hicho.
Lakini walipozidi kumsonga, aliusogelea mwili wa rafiki yake kisha akamwita na kumwambia asimame. Yule mtoto alisimama! Huo ukawa muujiza mkubwa wa kwanza wa Yesu Kristo, kufufua mtu nje ya maandiko matakatifu.
Kuna mifano mingi inayodhihirisha uwepo wa Mungu ambayo wanasayansi hawawezi hata kuipatia majibu. Tukio la Yoshua kusimamisha jua limewashangaza wanasayansi hadi nyakati za leo. Mwanzoni mwa miaka ya 70 wanasayansi walijaribu kurudisha muda nyuma kwa kompyuta kuona kama kweli wangekuta takribani siku moja imepotea kama ilivyorekodiwa katika Biblia.
Cha kushangaza, cha kushangaza mno, walikuta saa 23 na dakika 20 zimepotea katika mazingira ambayo hawakuweza na hawataweza kuyaelewa. Walipochunguza vizuri walikuta ni kipindi cha miaka ya 1500 KK (Jumanne tarehe 22 Julai) ambacho ndicho tukio la Yoshua la kusimamisha jua na kusogeza mwezi nyuma digrii 10, ambazo ni sawa na mzunguko wa dakika 40, lilipotokea.
Kwa kutumia elimu ya wendo, elimu ya kupanga miaka na matukio ya Kibiblia, dunia iliumbwa Jumapili tarehe 22 Septemba mwaka 4000 KK. Hata hivyo, mahesabu ya kalenda yanaonyesha kuwa Septemba 22 ilikuwa Jumatatu (si Jumapili) na kwamba kosa hilo labda lilisababishwa na siku ya Yoshua iliyopotea.
Hayo yote ni kwa mujibu wa Profesa C. A. Totten, wa Chuo Kikuu cha Yale, katika kitabu chake cha ‘Joshua’s Long Day and the Dial of Ahaz: A Scientific Vindication and a Midnight Cry� kilichochapishwa mwaka 1890.
Kama hakuna Mungu iliwezekanaje Yoshua aombe jua lisimame na jua likasimama kweli? Iliwezekanaje Yesu aseme atakufa, atafufuka na atapaa kwenda mbinguni na kweli ikatokea kama alivyosema? Ndani ya Biblia kuna tabiri 333 zilizotabiri maisha yote ya Yesu Kristo hapa duniani na zote zilitimia � bila kupungua hata moja. Utasemaje hapo hakuna Mungu? Mungu yupo, naamini, sijui.
Tukio la Yesu kufa, kufufuka na kupaa kwenda mbinguni si la vitabu vitakatifu pekee, hata sayansi inakubaliana na hilo.”
―
Kuna miujiza ambayo Yesu aliifanya ambayo haiko ndani ya Biblia. Kwa mfano, Biblia inasema Yesu alizaliwa ndani ya zizi la ng’ombe wakati sayansi inasema alizaliwa nje ya zizi la ng’ombe; na muujiza wa kwanza kuufanya ambao hauko ndani ya Biblia ni kutembea mara tu baada ya kuzaliwa, na watu na ndege wa angani kuganda kabla ya kuzaliwa Masihi na kabla ya wakunga kufika kumsaidia Maria Magdalena kujifungua.
Akiwa na umri wa miaka sita, sayansi inasema, Yesu alikuwa akicheza na mtoto mwenzake juu ya paa la nyumba ya jirani na mara Yesu akamsukuma mwenzake kutoka juu hadi chini na mwenzake huyo akafariki papo hapo. Watu walipomsonga sana Yesu kwa kumtuhumu kuwa yeye ndiye aliyesababisha kifo cha mwenzake, na kwamba wangemfungulia mashtaka, Yesu alikataa katakata kuhusika na kifo hicho.
Lakini walipozidi kumsonga, aliusogelea mwili wa rafiki yake kisha akamwita na kumwambia asimame. Yule mtoto alisimama! Huo ukawa muujiza mkubwa wa kwanza wa Yesu Kristo, kufufua mtu nje ya maandiko matakatifu.
Kuna mifano mingi inayodhihirisha uwepo wa Mungu ambayo wanasayansi hawawezi hata kuipatia majibu. Tukio la Yoshua kusimamisha jua limewashangaza wanasayansi hadi nyakati za leo. Mwanzoni mwa miaka ya 70 wanasayansi walijaribu kurudisha muda nyuma kwa kompyuta kuona kama kweli wangekuta takribani siku moja imepotea kama ilivyorekodiwa katika Biblia.
Cha kushangaza, cha kushangaza mno, walikuta saa 23 na dakika 20 zimepotea katika mazingira ambayo hawakuweza na hawataweza kuyaelewa. Walipochunguza vizuri walikuta ni kipindi cha miaka ya 1500 KK (Jumanne tarehe 22 Julai) ambacho ndicho tukio la Yoshua la kusimamisha jua na kusogeza mwezi nyuma digrii 10, ambazo ni sawa na mzunguko wa dakika 40, lilipotokea.
Kwa kutumia elimu ya wendo, elimu ya kupanga miaka na matukio ya Kibiblia, dunia iliumbwa Jumapili tarehe 22 Septemba mwaka 4000 KK. Hata hivyo, mahesabu ya kalenda yanaonyesha kuwa Septemba 22 ilikuwa Jumatatu (si Jumapili) na kwamba kosa hilo labda lilisababishwa na siku ya Yoshua iliyopotea.
Hayo yote ni kwa mujibu wa Profesa C. A. Totten, wa Chuo Kikuu cha Yale, katika kitabu chake cha ‘Joshua’s Long Day and the Dial of Ahaz: A Scientific Vindication and a Midnight Cry� kilichochapishwa mwaka 1890.
Kama hakuna Mungu iliwezekanaje Yoshua aombe jua lisimame na jua likasimama kweli? Iliwezekanaje Yesu aseme atakufa, atafufuka na atapaa kwenda mbinguni na kweli ikatokea kama alivyosema? Ndani ya Biblia kuna tabiri 333 zilizotabiri maisha yote ya Yesu Kristo hapa duniani na zote zilitimia � bila kupungua hata moja. Utasemaje hapo hakuna Mungu? Mungu yupo, naamini, sijui.
Tukio la Yesu kufa, kufufuka na kupaa kwenda mbinguni si la vitabu vitakatifu pekee, hata sayansi inakubaliana na hilo.”
―
“It is hard to remember the day it is today
For days that don’t shine
Sun-Day is hard to forget in my memory
For days that sunflowers ”
―
For days that don’t shine
Sun-Day is hard to forget in my memory
For days that sunflowers ”
―

“Sunday was a sad day-early to bed, school the next morning, I was constantly worried my homework was wrong-but as I watched the fireworks go off in the night sky, over the floodlit castles of Disneyland, was consumed by a more general sense of dread, of imprisonment I within the dreary round of school and home: circumstances which, to me at least, presented sound empirical argument for gloom. My father was mean, and our house ugly, and my mother didn't pay much attention to me; my clothes were cheap and my haircut too short and no one at school seemed to like me that much; and since all this had been true for as long as I could remember, I felt things would doubtless continue in this depressing vein as far as I could foresee. In short: I felt my existence was tainted, in some subtle but essential way.”
― The Secret History
― The Secret History

“Sunday is God's day, and he was committed to honoring it. Just because he was in Paris to compete in the Olympics didn't justify changing his lifelong commitment.”
― Weird: Because Normal Isn't Working
― Weird: Because Normal Isn't Working

“Yesu Kristo hakufa siku ya Ijumaa jioni na kufufuka siku ya Jumapili asubuhi. Alikufa siku ya Jumatano jioni na kukufuka siku ya Jumamosi jioni. Wakati kifo kinamkumba, hakuwa na umri wa miaka 33, alikuwa na umri wa miaka 31. Kama Yesu Kristo alikufa siku ya Ijumaa jioni, na kufufuka siku ya Jumapili asubuhi, hatuna Mwokozi!”
―
―
All Quotes
|
My Quotes
|
Add A Quote
Browse By Tag
- Love Quotes 99.5k
- Life Quotes 78k
- Inspirational Quotes 74.5k
- Humor Quotes 44.5k
- Philosophy Quotes 30.5k
- Inspirational Quotes Quotes 27.5k
- God Quotes 26.5k
- Truth Quotes 24k
- Wisdom Quotes 24k
- Romance Quotes 23.5k
- Poetry Quotes 22.5k
- Life Lessons Quotes 20.5k
- Death Quotes 20.5k
- Happiness Quotes 19k
- Quotes Quotes 18.5k
- Hope Quotes 18k
- Faith Quotes 18k
- Inspiration Quotes 17k
- Spirituality Quotes 15.5k
- Religion Quotes 15k
- Motivational Quotes 15k
- Writing Quotes 15k
- Relationships Quotes 15k
- Life Quotes Quotes 14.5k
- Love Quotes Quotes 14.5k
- Success Quotes 13.5k
- Time Quotes 12.5k
- Motivation Quotes 12.5k
- Science Quotes 12k
- Motivational Quotes Quotes 11.5k