Paulo Quotes
Quotes tagged as "paulo"
Showing 1-14 of 14

“And he always checks that he carries three things with him: faith, hope, and love.”
― Warrior of the Light
― Warrior of the Light

“Eldora smiled up at Paulo cunningly, her dark eyes twinkling. 鈥淵ou are old, Father.鈥�
鈥淣ot as old as I shall be, before I have finished with the universe.”
― Aizai the Forgotten
鈥淣ot as old as I shall be, before I have finished with the universe.”
― Aizai the Forgotten

“You seem to be in a state of such absolute contradiction that I would not be surprised if your face tore in half.”
― Aizai the Forgotten
― Aizai the Forgotten

“Sabato ilianzishwa na Mungu siku ya saba ya uumbaji wake. Siku ya Sabato ni siku takatifu, iliyoko katika Amri Kumi za Mungu, ambayo hatuna budi kuitunza na kuiheshimu. Sheria ya Siku ya Sabato haikufa baada ya kifo cha Yesu Kristo msalabani kama Wakolosai wanavyodai. Wakolosai walifuata falsafa za kipagani, na walizileta falsafa hizo ndani ya mwili wa Kristo ambalo ni kanisa. 鈥楿siiamini鈥� Wakolosai 2:17. Iamini Wakolosai 2:20-23, ambapo Paulo anafundisha Mataifa jinsi ya kuitunza Sabato, na 1 Wakorintho 12:27 ambayo inatoa maana halisi ya Wakolosai 2:17. 鈥楳wili wako ni wa Kristo鈥� ni tofauti na 鈥榤wili wa Kristo鈥� na ni tofauti na kanisa. Ukiamini kama mwili wako ni wa Kristo na ni kanisa, utaitunza Sabato.”
―
―

“Although one may direct the future or past through the onerous linkages of temporal cause and effect, riding the breaking waves of the present and never once overstepping it, the better way is to go there and do it yourself.”
― Aizai the Forgotten
― Aizai the Forgotten

“There is a present because it works with my theories. If you find a better one than mine, then I may reconsider, but for the sake of the universe鈥攁nd oh, how we philosophers make the universe weep鈥攖here is a present, and it is the time you just left.”
― Aizai the Forgotten
― Aizai the Forgotten

“O que interessa 茅 que Jesus teve um corpo de verdade. Para tornar-Se realmente humano, Ele teve de nascer, como escreve o ap贸stolo Paulo em G谩latas 4, de uma mulher e n茫o somente atrav茅s de uma mulher. Deus n茫o usou Maria como uma "barriga de aluguel", mas usou o seu DNA. A express茫o teol贸gica usada para isto 茅 "别苍肠补谤苍补莽茫辞", e o princ铆pio por tr谩s 茅: o que Deus Se torna Deus redime. Deus tornou-Se o que somos 鈥� com um corpo de verdade 鈥� para que pud茅ssemos nos tornar filhos Dele. 脡 por isso que o corpo terreno e verdadeiro de Jesus 茅 importante para a nossa 蹿茅.”
― The Real Mary: Why Evangelical Christians Can Embrace the Mother of Jesus
― The Real Mary: Why Evangelical Christians Can Embrace the Mother of Jesus

“em mim
eu vejo o outro
e outro
e outro
enfim dezenas
trens passando
vag玫es cheios de gente
centenas
o outro
que h谩 em mim
茅 惫辞肠锚
惫辞肠锚
e 惫辞肠锚
assim como
eu estou em 惫辞肠锚
eu estou nele
em n贸s
e s贸 quando
estamos em n贸s
estamos em paz
mesmo que estejamos a s贸s”
― Caprichos e Relaxos
eu vejo o outro
e outro
e outro
enfim dezenas
trens passando
vag玫es cheios de gente
centenas
o outro
que h谩 em mim
茅 惫辞肠锚
惫辞肠锚
e 惫辞肠锚
assim como
eu estou em 惫辞肠锚
eu estou nele
em n贸s
e s贸 quando
estamos em n贸s
estamos em paz
mesmo que estejamos a s贸s”
― Caprichos e Relaxos

“No, I do not believe in fate, that some spirits of the heavens weave the laws of the world to make it so. That is dogma for the foolish, for the universe is quite able to deal with such matters herself, to use her natural laws to guide matter and the spirits. Even so, souls within the world can act to naturally shift the cause of events. Magister Brennark did say that 鈥楴othing happens unless we make it so.鈥� I believe you have made it so, Wolfdon, and how foolish it would be for us to ignore an opportunity that you yourself established, whether you knew you were doing so or not.”
― Aizai the Forgotten
― Aizai the Forgotten

“Kabla ya uasi, Mungu alimpa Shetani na wasaidizi wake ambao ni mapepo mamlaka makubwa juu ya kila kitu hapa duniani; kuanzia angahewa la dunia hadi ardhi ya dunia nzima nasi wakazi wake tukijumuishwa. Abadani tusisahau kwamba, kwa kiasi kikubwa, kupambana kwetu kama Paulo anavyosema ni dhidi ya hawa mapepo na mfalme wao ambaye ni Shetani. Tunaishi katika eneo ambapo hata wao wanaishi.
Hawa mapepo wabaya huwatumia maadui wa msalaba wa Yesu Kristo kutekeleza mipango yao kwa lengo la kuwaangamiza marafiki wote wa msalaba wa Yesu Kristo, wanashawishiwa kwa kiasi kikubwa na hizo mamlaka za kimapepo, na kwa sababu wamedanganywa, hawajui hata kidogo kama Shetani anawatumia! Inawezekana hawajatwaliwa na mapepo lakini wanashawishiwa na mapepo kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu kwa wanadamu wote.”
―
Hawa mapepo wabaya huwatumia maadui wa msalaba wa Yesu Kristo kutekeleza mipango yao kwa lengo la kuwaangamiza marafiki wote wa msalaba wa Yesu Kristo, wanashawishiwa kwa kiasi kikubwa na hizo mamlaka za kimapepo, na kwa sababu wamedanganywa, hawajui hata kidogo kama Shetani anawatumia! Inawezekana hawajatwaliwa na mapepo lakini wanashawishiwa na mapepo kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu kwa wanadamu wote.”
―

“Jambo ambalo Mungu anataka tulitambue ni kwamba hatuko wenyewe katika bahari hii ya hewa. Hata nyangumi na wazira waovu wanapozunguka huko na huko baharini, ambao pia ni mapepo, wanaochukuliwa kama viumbe wabaya na wachafu na wala mizoga, wanaishi katika bahari hii ya hewa pamoja na sisi. Ni muhimu, kwa ajili ya ustawi wetu wa kiroho, kusikia onyo la Paulo katika Waefeso 6:10-12 kwamba vita yetu si dhidi ya hawa viumbe, na wanapambana usiku na mchana kutetea kile ambacho wanaamini ni cha kwao kwa sababu ya haki ya kuwepo hapa kwanza kabla yetu. Dunia, Biblia inatwambia, ilikuwa makazi yao ya kwanza (Yuda 1:6, KJV). Wanatuchukia kwa sababu taratibu tunakuwa Baba na Mwana, na kwa sababu wanajua hii dunia, urithi wetu, itachukuliwa kutoka mikononi mwao na kukabidhiwa kwa wale ambao ni watoto wa Mungu, wale ambao ni marafiki wa msalaba wa Yesu Kristo.”
―
―

“Hakuna mahali popote katika Agano Jipya ambapo sheria ya Sabato imekomeshwa (Kutoka 31:12-17), kwani Mungu alianzisha Sabato kwa ajili ya wanadamu wote (Marko 2:27). Kinyume cha hapo, Yesu aliitunza (Luka 4:16), Paulo aliitunza (Matendo 17:2) na Wamataifa waliitunza pia (Matendo 13:42-44; 16:13)! Mwandishi wa Waebrania anaandika bila kificho, 鈥淏asi, imesalia raha ya Sabato kwa watu wa Mungu鈥� (Waebrania 4:9).”
―
―
All Quotes
|
My Quotes
|
Add A Quote
Browse By Tag
- Love Quotes 99k
- Life Quotes 78k
- Inspirational Quotes 74.5k
- Humor Quotes 43.5k
- Philosophy Quotes 30.5k
- Inspirational Quotes Quotes 28k
- God Quotes 26.5k
- Truth Quotes 24k
- Wisdom Quotes 24k
- Romance Quotes 23.5k
- Poetry Quotes 22.5k
- Life Lessons Quotes 21.5k
- Death Quotes 20k
- Quotes Quotes 19.5k
- Happiness Quotes 19k
- Hope Quotes 18k
- Faith Quotes 18k
- Inspiration Quotes 17k
- Spirituality Quotes 15.5k
- Motivational Quotes 15k
- Religion Quotes 15k
- Relationships Quotes 15k
- Life Quotes Quotes 15k
- Writing Quotes 14.5k
- Love Quotes Quotes 14.5k
- Success Quotes 13.5k
- Motivation Quotes 13k
- Time Quotes 12.5k
- Science Quotes 12k
- Motivational Quotes Quotes 11.5k